12 “‘“Watu wa Tarshishi+ walifanya biashara nawe kwa sababu ya utajiri wako mwingi.+ Walibadilisha fedha, chuma, bati, na risasi kwa ajili ya bidhaa zako.+ 13 Watu wa Yavani, Tubali,+ na Mesheki+ walifanya nawe biashara, wakibadilisha watumwa+ na vitu vya shaba kwa ajili ya bidhaa zako.