7 Wanavikanyaga-kanyaga vichwa vya watu wa hali ya chini katika mavumbi ya dunia,+
Nao wanaziba njia ya wapole.+
Mtu na baba yake wanalala na msichana yuleyule,
Na hivyo kulichafua jina langu takatifu.
8 Wanajinyoosha kando ya kila madhabahu+ juu ya nguo walizochukua kwa nguvu kutoka kwa maskini kama dhamana ya mkopo;+
Na divai wanayokunywa katika nyumba ya miungu yao waliipata kutoka kwa wale waliowatoza faini.’