8 Kisha Ahazi akachukua fedha na dhahabu iliyokuwa katika nyumba ya Yehova na katika hazina za nyumba ya mfalme,* akampelekea mfalme wa Ashuru kama rushwa.+
16 Wakati huo Hezekia aling’oa* milango ya hekalu+ la Yehova na miimo ambayo yeye mwenyewe, Mfalme Hezekia wa Yuda, alikuwa ameifunika kwa dhahabu,+ naye akampa mfalme wa Ashuru.