27 Isitoshe, Isaya anapaza sauti kuhusu Israeli: “Ijapokuwa idadi ya wana wa Israeli huenda ikawa kama chembe za mchanga wa bahari, ni watu wachache tu waliobaki watakaookolewa.+ 28 Kwa maana Yehova atatoza hesabu duniani, na kuimaliza na kuifupisha.”+