Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hosea 1:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 “Na Waisraeli* watakuwa wengi kama chembe za mchanga wa bahari, ambao hauwezi kupimwa wala kuhesabiwa.+ Na mahali ambapo Mungu aliwaambia, ‘Ninyi si watu wangu,’+ atawaita, ‘Wana wa Mungu aliye hai.’+

  • Waroma 11:4, 5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Lakini neno la Mungu linamwambia nini? “Nimeacha watu 7,000 kwa ajili yangu, watu ambao hawakumpigia goti Baali.”+ 5 Basi, kwa njia hiyohiyo, wakati huu pia, kuna mabaki kulingana na kuchaguliwa+ kupitia fadhili zisizostahiliwa.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki