10 “Na Waisraeli* watakuwa wengi kama chembe za mchanga wa bahari, ambao hauwezi kupimwa wala kuhesabiwa.+ Na mahali ambapo Mungu aliwaambia, ‘Ninyi si watu wangu,’+ atawaita, ‘Wana wa Mungu aliye hai.’+
4 Lakini neno la Mungu linamwambia nini? “Nimeacha watu 7,000 kwa ajili yangu, watu ambao hawakumpigia goti Baali.”+5 Basi, kwa njia hiyohiyo, wakati huu pia, kuna mabaki kulingana na kuchaguliwa+ kupitia fadhili zisizostahiliwa.