30Hezekia akatuma ujumbe kwa watu wote wa Israeli+ na Yuda, na hata aliwaandikia barua watu wa Efraimu na Manase+ waje Yerusalemu katika nyumba ya Yehova kuadhimisha Pasaka ya Yehova Mungu wa Israeli.+
10 Kwa hiyo wajumbe* hao walienda jiji hadi jiji katika nchi yote ya Efraimu na Manase,+ walifika hata Zabuloni, lakini watu walikuwa wakiwafanyia mzaha na kuwadhihaki.+