Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 12:43
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 43 Kisha Yehova akawaambia Musa na Haruni, “Hii ndiyo sheria ya Pasaka: Hakuna mgeni anayepaswa kuila.+

  • Mambo ya Walawi 23:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Katika siku ya 14 ya mwezi wa kwanza,+ wakati wa jioni kabla ya giza kuingia* ni Pasaka+ ya Yehova.

  • Kumbukumbu la Torati 16:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Nanyi mnapaswa kumtolea Yehova Mungu wenu dhabihu ya Pasaka+ kutoka katika kondoo wenu na ng’ombe wenu,+ mahali ambapo Yehova atachagua jina lake likae hapo.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 35:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Yosia alifanya sherehe ya Pasaka+ ya Yehova huko Yerusalemu, nao wakamchinja mnyama wa Pasaka+ katika siku ya 14 ya mwezi wa kwanza.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki