Kutoka 12:43 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 43 Kisha Yehova akawaambia Musa na Haruni, “Hii ndiyo sheria ya Pasaka: Hakuna mgeni anayepaswa kuila.+ Mambo ya Walawi 23:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Katika siku ya 14 ya mwezi wa kwanza,+ wakati wa jioni kabla ya giza kuingia* ni Pasaka+ ya Yehova. Kumbukumbu la Torati 16:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Nanyi mnapaswa kumtolea Yehova Mungu wenu dhabihu ya Pasaka+ kutoka katika kondoo wenu na ng’ombe wenu,+ mahali ambapo Yehova atachagua jina lake likae hapo.+ 2 Mambo ya Nyakati 35:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Yosia alifanya sherehe ya Pasaka+ ya Yehova huko Yerusalemu, nao wakamchinja mnyama wa Pasaka+ katika siku ya 14 ya mwezi wa kwanza.+
43 Kisha Yehova akawaambia Musa na Haruni, “Hii ndiyo sheria ya Pasaka: Hakuna mgeni anayepaswa kuila.+
5 Katika siku ya 14 ya mwezi wa kwanza,+ wakati wa jioni kabla ya giza kuingia* ni Pasaka+ ya Yehova.
2 Nanyi mnapaswa kumtolea Yehova Mungu wenu dhabihu ya Pasaka+ kutoka katika kondoo wenu na ng’ombe wenu,+ mahali ambapo Yehova atachagua jina lake likae hapo.+
35 Yosia alifanya sherehe ya Pasaka+ ya Yehova huko Yerusalemu, nao wakamchinja mnyama wa Pasaka+ katika siku ya 14 ya mwezi wa kwanza.+