Kumbukumbu la Torati 16:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Nawe utatoa dhabihu ya pasaka kwa Yehova Mungu wako,+ mnyama wa kundi na wa mifugo,+ katika mahali ambapo Yehova atapachagua kuweka jina lake.+
2 Nawe utatoa dhabihu ya pasaka kwa Yehova Mungu wako,+ mnyama wa kundi na wa mifugo,+ katika mahali ambapo Yehova atapachagua kuweka jina lake.+