27 “Inueni ishara katika nchi.+
Pigeni pembe kati ya mataifa.
Wekeni mataifa ya kumshambulia.
Iteni dhidi yake falme za Ararati,+ Mini, na Ashkenazi.+
Wekeni juu yake ofisa mwandikishaji.
Wafanyeni farasi waje kama nzige wenye miiba.
28 Wekeni mataifa ya kumshambulia,
Wafalme wa Umedi,+ magavana wake na watawala wake wote wasaidizi
Na nchi zote wanazozitawala.