Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 32:21, 22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Ndipo Yehova akamtuma malaika, na malaika huyo akamwangamiza kabisa kila shujaa hodari,+ kiongozi, na mkuu katika kambi ya mfalme wa Ashuru, hivi kwamba akarudi katika nchi yake akiwa ameaibika. Baadaye aliingia katika nyumba ya* mungu wake, na humo baadhi ya wanawe mwenyewe wakamuua kwa upanga.+ 22 Basi Yehova akamwokoa Hezekia na wakaaji wa Yerusalemu kutoka mikononi mwa Mfalme Senakeribu wa Ashuru na kutoka mikononi mwa wengine wote na kuwapumzisha pande zote.

  • Isaya 30:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Kwa maana kwa sababu ya sauti ya Yehova, Ashuru itashikwa na hofu;+

      Ataipiga kwa fimbo.+

  • Isaya 31:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Na Mwashuru atauawa kwa upanga, lakini si wa mwanadamu;+

      Na upanga, usio wa mwanadamu, utamwangamiza.

      Atakimbia kwa sababu ya upanga,

      Na wanaume wake vijana watalazimishwa kufanya kazi za kulazimishwa.

  • Isaya 37:36, 37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Na malaika wa Yehova akaenda na kuwaua wanaume 185,000 katika kambi ya Waashuru. Watu walipoamka asubuhi na mapema, waliona maiti zote hizo.+ 37 Basi Mfalme Senakeribu wa Ashuru akaondoka, akarudi Ninawi+ na kukaa huko.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki