Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 32:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Wana wa Gadi wakajenga* Diboni,+ Atarothi,+ Aroeri,+

  • Yoshua 13:15, 16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Ndipo Musa akawapa urithi watu wa kabila la Rubeni kulingana na koo zao, 16 na eneo lao lilianzia Aroeri, kwenye ukingo wa Bonde* la Arnoni, na jiji lililo katikati ya bonde hilo, na uwanda wote wa juu wa Medeba;

  • 2 Wafalme 10:32, 33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Siku hizo Yehova alianza kupunguza* eneo la Israeli, eneo moja baada ya lingine. Hazaeli akaendelea kuwashambulia kotekote katika eneo la Israeli,+ 33 kuanzia Yordani kuelekea mashariki, nchi yote ya Gileadi—ya watu wa kabila la Gadi, Rubeni, na Manase+—kutoka Aroeri, jiji lililo kando ya Bonde la Arnoni,* mpaka Gileadi na Bashani.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki