Kumbukumbu la Torati 28:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Utamchumbia mwanamke, lakini mwanamume mwingine atambaka. Utajenga nyumba, lakini hutaishi ndani yake.+ Utapanda shamba la mizabibu, lakini hutaanza kula matunda yake.+ Hosea 8:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa maana wanapanda upepo,Nao watavuna kimbunga.+ Hakuna bua linalozaa nafaka iliyokomaa;+Bua lolote linalochipuka halitokezi unga. Unga wowote wanaopata, utamezwa na wageni.+
30 Utamchumbia mwanamke, lakini mwanamume mwingine atambaka. Utajenga nyumba, lakini hutaishi ndani yake.+ Utapanda shamba la mizabibu, lakini hutaanza kula matunda yake.+
7 Kwa maana wanapanda upepo,Nao watavuna kimbunga.+ Hakuna bua linalozaa nafaka iliyokomaa;+Bua lolote linalochipuka halitokezi unga. Unga wowote wanaopata, utamezwa na wageni.+