Isaya 8:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Tazama! Mimi na watoto ambao Yehova amenipa+ ni kama ishara+ na kama miujiza katika Israeli kutoka kwa Yehova wa majeshi, anayekaa kwenye Mlima Sayuni. Isaya 24:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Mwezi mpevu utafedheheshwa,Na jua linalong’aa litaaibishwa,+Kwa maana Yehova wa majeshi amekuwa Mfalme+ katika Mlima Sayuni+ na YerusalemuAkiwa na utukufu mbele ya wazee wa watu wake.*+
18 Tazama! Mimi na watoto ambao Yehova amenipa+ ni kama ishara+ na kama miujiza katika Israeli kutoka kwa Yehova wa majeshi, anayekaa kwenye Mlima Sayuni.
23 Mwezi mpevu utafedheheshwa,Na jua linalong’aa litaaibishwa,+Kwa maana Yehova wa majeshi amekuwa Mfalme+ katika Mlima Sayuni+ na YerusalemuAkiwa na utukufu mbele ya wazee wa watu wake.*+