Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 132:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kwa maana Yehova amelichagua Sayuni;+

      Amelitamani liwe makao yake:+

  • Isaya 12:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 “Paza sauti na upige kelele kwa shangwe, ewe mkaaji* wa Sayuni,

      Kwa maana Mtakatifu wa Israeli ni mkuu katikati yako.”

  • Yoeli 3:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Nanyi mtalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova Mungu wenu, ninayekaa Sayuni, mlima wangu mtakatifu.+

      Yerusalemu litakuwa mahali patakatifu,+

      Na wageni hawatapita tena humo.+

  • Mika 4:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Nitamfanya yule aliyekuwa akichechemea abaki,+

      Na yule aliyepelekwa mbali kuwa taifa lenye nguvu;+

      Na Yehova atawatawala akiwa mfalme katika Mlima Sayuni,

      Kuanzia sasa mpaka milele.

  • Zekaria 2:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 “Paza sauti kwa shangwe, Ee binti ya Sayuni;+ kwa maana ninakuja,+ nami nitakaa kati yako,”+ asema Yehova.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki