Zaburi 132:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa maana Yehova amelichagua Sayuni;+Amelitamani liwe makao yake:+ Isaya 12:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “Paza sauti na upige kelele kwa shangwe, ewe mkaaji* wa Sayuni,Kwa maana Mtakatifu wa Israeli ni mkuu katikati yako.” Yoeli 3:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Nanyi mtalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova Mungu wenu, ninayekaa Sayuni, mlima wangu mtakatifu.+ Yerusalemu litakuwa mahali patakatifu,+Na wageni hawatapita tena humo.+ Mika 4:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Nitamfanya yule aliyekuwa akichechemea abaki,+Na yule aliyepelekwa mbali kuwa taifa lenye nguvu;+Na Yehova atawatawala akiwa mfalme katika Mlima Sayuni,Kuanzia sasa mpaka milele. Zekaria 2:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 “Paza sauti kwa shangwe, Ee binti ya Sayuni;+ kwa maana ninakuja,+ nami nitakaa kati yako,”+ asema Yehova.
6 “Paza sauti na upige kelele kwa shangwe, ewe mkaaji* wa Sayuni,Kwa maana Mtakatifu wa Israeli ni mkuu katikati yako.”
17 Nanyi mtalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova Mungu wenu, ninayekaa Sayuni, mlima wangu mtakatifu.+ Yerusalemu litakuwa mahali patakatifu,+Na wageni hawatapita tena humo.+
7 Nitamfanya yule aliyekuwa akichechemea abaki,+Na yule aliyepelekwa mbali kuwa taifa lenye nguvu;+Na Yehova atawatawala akiwa mfalme katika Mlima Sayuni,Kuanzia sasa mpaka milele.
10 “Paza sauti kwa shangwe, Ee binti ya Sayuni;+ kwa maana ninakuja,+ nami nitakaa kati yako,”+ asema Yehova.