Isaya 11:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Yehova ataigawanya* ghuba ya* bahari ya Misri+Na kuutikisa mkono wake juu ya ule Mto.*+ Kwa pumzi* yake inayounguza ataipiga katika vijito vyake saba,*Naye atawafanya watu watembee na kuvuka wakiwa wamevaa viatu vyao.
15 Yehova ataigawanya* ghuba ya* bahari ya Misri+Na kuutikisa mkono wake juu ya ule Mto.*+ Kwa pumzi* yake inayounguza ataipiga katika vijito vyake saba,*Naye atawafanya watu watembee na kuvuka wakiwa wamevaa viatu vyao.