Habakuki 3:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Nilisikia nikatetemeka kwa ndani;*Niliposikia sauti hiyo midomo yangu ilitetemeka. Uozo ukaingia mifupani mwangu;+Miguu yangu ikatetemeka. Lakini nangojea kimyakimya ile siku ya taabu,+Kwa sababu inawajia watu wanaotushambulia.
16 Nilisikia nikatetemeka kwa ndani;*Niliposikia sauti hiyo midomo yangu ilitetemeka. Uozo ukaingia mifupani mwangu;+Miguu yangu ikatetemeka. Lakini nangojea kimyakimya ile siku ya taabu,+Kwa sababu inawajia watu wanaotushambulia.