Zaburi 42:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa nini nimesononeka?+ Kwa nini msukosuko huu umo ndani yangu? Mngojee Mungu,+Kwa maana bado nitamsifu kwa kuwa yeye ni Mwokozi wangu Mtukufu.+ Isaya 26:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Nendeni, watu wangu, ingieni katika vyumba vyenu vya ndani,Na mfunge milango nyuma yenu.+ Jificheni kwa muda mfupiMpaka ghadhabu* itakapopita.+ Maombolezo 3:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Ni jambo jema kuungojea kimyakimya*+ wokovu wa Yehova.+
5 Kwa nini nimesononeka?+ Kwa nini msukosuko huu umo ndani yangu? Mngojee Mungu,+Kwa maana bado nitamsifu kwa kuwa yeye ni Mwokozi wangu Mtukufu.+
20 Nendeni, watu wangu, ingieni katika vyumba vyenu vya ndani,Na mfunge milango nyuma yenu.+ Jificheni kwa muda mfupiMpaka ghadhabu* itakapopita.+