Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 5:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Wana kinubi na kinanda,

      Tari, filimbi, na divai katika karamu zao;

      Lakini hawafikirii utendaji wa Yehova,

      Wala hawaioni kazi ya mikono yake.

  • Isaya 56:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “Njooni, acheni nichukue divai,

      Na acheni tunywe kileo kingi.+

      Na kesho itakuwa kama leo, itakuwa bora hata zaidi!”

  • Amosi 6:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 “Ole wao wanaojitumaini* huko Sayuni,

      Wale wanaojiona wakiwa salama katika mlima wa Samaria,+

      Wanaume maarufu wa taifa kuu zaidi kati ya mataifa,

      Wale ambao nyumba ya Israeli huwaendea!

  • Amosi 6:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Wanalalia vitanda vya pembe za tembo+ na kujinyoosha kwenye makochi,+

      Wakila kondoo dume wa kundi na ndama* waliononeshwa;+

  • Luka 17:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 walikuwa wakila, walikuwa wakinywa, wanaume walikuwa wakioa na wanawake wakiolewa, mpaka siku ambayo Noa aliingia ndani ya safina,+ na Gharika ikaja na kuwaangamiza wote.+

  • Yakobo 5:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Ninyi mmeishi kwa anasa na kwa ajili ya kutosheleza tamaa zenu duniani. Mmeinonesha mioyo yenu katika siku ya machinjo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki