Isaya 22:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Lakini badala yake, kuna sherehe na kushangilia,Kuchinja ng’ombe na kuchinja kondoo,Kula nyama na kunywa divai.+ ‘Acheni tule na tunywe, kwa maana kesho tutakufa.’”+
13 Lakini badala yake, kuna sherehe na kushangilia,Kuchinja ng’ombe na kuchinja kondoo,Kula nyama na kunywa divai.+ ‘Acheni tule na tunywe, kwa maana kesho tutakufa.’”+