Isaya 10:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 “Yehova atakapomaliza kazi yake yote kwenye Mlima Sayuni na Yerusalemu, atamwadhibu* mfalme wa Ashuru kwa sababu ya moyo wake wenye dharau na macho yake yanayotazama kwa kiburi na majivuno.+ Nahumu 3:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Wachungaji wako wanasinzia, Ee mfalme wa Ashuru;Wakuu wako wanakaa katika makao yao. Watu wako wametawanyika milimani,Na hakuna yeyote anayewakusanya pamoja.+ Sefania 2:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Ataunyoosha mkono wake kuelekea kaskazini na kuangamiza Ashuru,Naye atalifanya Ninawi liwe ukiwa,+ liwe kavu kama jangwa.
12 “Yehova atakapomaliza kazi yake yote kwenye Mlima Sayuni na Yerusalemu, atamwadhibu* mfalme wa Ashuru kwa sababu ya moyo wake wenye dharau na macho yake yanayotazama kwa kiburi na majivuno.+
18 Wachungaji wako wanasinzia, Ee mfalme wa Ashuru;Wakuu wako wanakaa katika makao yao. Watu wako wametawanyika milimani,Na hakuna yeyote anayewakusanya pamoja.+
13 Ataunyoosha mkono wake kuelekea kaskazini na kuangamiza Ashuru,Naye atalifanya Ninawi liwe ukiwa,+ liwe kavu kama jangwa.