Mambo ya Walawi 26:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Nitayaangamiza majiji yenu kwa upanga+ na kuharibu mahali penu patakatifu, nami sitasikia harufu inayopendeza* ya dhabihu zenu. Kumbukumbu la Torati 29:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Kwa hiyo, Yehova akawang’oa kutoka katika ardhi yao kwa hasira yake+ na ghadhabu kali na hamaki na kuwapeleka katika nchi nyingine, mahali walipo mpaka leo.’+
31 Nitayaangamiza majiji yenu kwa upanga+ na kuharibu mahali penu patakatifu, nami sitasikia harufu inayopendeza* ya dhabihu zenu.
28 Kwa hiyo, Yehova akawang’oa kutoka katika ardhi yao kwa hasira yake+ na ghadhabu kali na hamaki na kuwapeleka katika nchi nyingine, mahali walipo mpaka leo.’+