Zaburi 132:13, 14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa maana Yehova amelichagua Sayuni;+Amelitamani liwe makao yake:+ 14 “Hapa ndipo mahali pangu pa kupumzikia milele;Nitakaa hapa,+ kwa maana nimepatamani. Isaya 12:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “Paza sauti na upige kelele kwa shangwe, ewe mkaaji* wa Sayuni,Kwa maana Mtakatifu wa Israeli ni mkuu katikati yako.”
13 Kwa maana Yehova amelichagua Sayuni;+Amelitamani liwe makao yake:+ 14 “Hapa ndipo mahali pangu pa kupumzikia milele;Nitakaa hapa,+ kwa maana nimepatamani.
6 “Paza sauti na upige kelele kwa shangwe, ewe mkaaji* wa Sayuni,Kwa maana Mtakatifu wa Israeli ni mkuu katikati yako.”