Yeremia 48:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 “Tumesikia kuhusu kiburi cha Moabu—ana majivuno sana—Kuhusu kujisifu kwake, kiburi chake, majivuno yake, na jinsi moyo wake ulivyotutumuka.”+ Yakobo 4:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Hata hivyo, fadhili zisizostahiliwa ambazo Yeye hutoa ni kubwa zaidi. Kwa hiyo, linasema: “Mungu huwapinga wenye majivuno,+ lakini huwapa wanyenyekevu fadhili zisizostahiliwa.”+
29 “Tumesikia kuhusu kiburi cha Moabu—ana majivuno sana—Kuhusu kujisifu kwake, kiburi chake, majivuno yake, na jinsi moyo wake ulivyotutumuka.”+
6 Hata hivyo, fadhili zisizostahiliwa ambazo Yeye hutoa ni kubwa zaidi. Kwa hiyo, linasema: “Mungu huwapinga wenye majivuno,+ lakini huwapa wanyenyekevu fadhili zisizostahiliwa.”+