-
2 Mambo ya Nyakati 12:7, 8Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
7 Yehova alipoona kwamba wamejinyenyekeza, neno la Yehova likamjia Shemaya likisema: “Wamejinyenyekeza. Sitawaangamiza,+ na baada ya muda mfupi nitawaokoa. Sitalimwagia jiji la Yerusalemu ghadhabu yangu kupitia Shishaki. 8 Lakini watakuwa watumishi wake, ili wajue tofauti kati ya kunitumikia mimi na kuwatumikia wafalme wa* nchi nyingine.”
-