Kumbukumbu la Torati 32:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Nikiunoa upanga wangu unaometametaNa kuutayarisha mkono wangu ili uhukumu,+Nitawalipiza kisasi maadui wangu+Na kuwalipa wale wanaonichukia. Yeremia 47:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Aha! Upanga wa Yehova!+ Utanyamaza mpaka lini? Rudi ndani ya ala yako. Pumzika na unyamaze.
41 Nikiunoa upanga wangu unaometametaNa kuutayarisha mkono wangu ili uhukumu,+Nitawalipiza kisasi maadui wangu+Na kuwalipa wale wanaonichukia.