3 “Nisikilize mimi, Ee nyumba ya Yakobo, nanyi nyote mnaobaki wa nyumba ya Israeli,+
Ninyi niliowategemeza tangu mlipozaliwa na kuwabeba tangu tumboni.+
4 Hata utakapozeeka nitakuwa yuleyule;+
Hata kichwa chako kikiwa na mvi nitaendelea kukubeba.
Kama nilivyofanya, nitakubeba na kukuchukua na kukuokoa.+