Isaya 27:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Mimi, Yehova, ninamlinda.+ Kila wakati ninammwagilia maji.+ Ninamlinda usiku na mchana,Ili mtu yeyote asimdhuru.+ Isaya 40:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Je, hujui? Je, hujasikia? Yehova, Muumba wa miisho ya dunia, ni Mungu kwa umilele wote.+ Yeye hachoki kamwe wala haishiwi na nguvu.+ Uelewaji wake hauchunguziki.*+
3 Mimi, Yehova, ninamlinda.+ Kila wakati ninammwagilia maji.+ Ninamlinda usiku na mchana,Ili mtu yeyote asimdhuru.+
28 Je, hujui? Je, hujasikia? Yehova, Muumba wa miisho ya dunia, ni Mungu kwa umilele wote.+ Yeye hachoki kamwe wala haishiwi na nguvu.+ Uelewaji wake hauchunguziki.*+