-
Isaya 6:11, 12Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
11 Ndipo nikauliza: “Ni mpaka lini, Ee Yehova?” Kisha akasema:
-
-
Maombolezo 2:5Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
Ameimeza minara yake yote;
Ameziharibu ngome zake zote.
Na katika binti ya Yuda anafanya maombolezo na kilio kiwe kingi.
-
-
Ezekieli 36:4Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
4 kwa hiyo, enyi milima ya Israeli, sikieni neno la Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova! Hivi ndivyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anavyoiambia milima na vilima, vijito na mabonde, magofu yaliyofanywa ukiwa,+ na majiji yaliyoachwa ambayo yameporwa na kudhihakiwa na wale waliookoka kutoka katika mataifa yanayowazunguka;+
-