Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 6:11, 12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Ndipo nikauliza: “Ni mpaka lini, Ee Yehova?” Kisha akasema:

      “Mpaka majiji yabomoke yawe magofu bila mkaaji

      Na nyumba zisiwe na watu

      Na nchi iharibiwe na kubaki ukiwa;+

      12 Mpaka Yehova awaondoe watu na kuwapeleka mbali+

      Na hali ya ukiwa ya nchi ienee sana.

  • Yeremia 26:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 “Mika+ wa Moreshethi alikuwa akitabiri katika siku za utawala wa Mfalme Hezekia+ wa Yuda, akawaambia watu wote wa Yuda, ‘Yehova wa majeshi anasema hivi:

      “Sayuni litalimwa kama shamba,

      Yerusalemu litakuwa marundo ya magofu,+

      Na mlima wa Nyumba* utakuwa kama vilima msituni.”’*+

  • Maombolezo 2:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Yehova amekuwa kama adui;+

      Ameimeza Israeli.

      Ameimeza minara yake yote;

      Ameziharibu ngome zake zote.

      Na katika binti ya Yuda anafanya maombolezo na kilio kiwe kingi.

  • Ezekieli 36:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 kwa hiyo, enyi milima ya Israeli, sikieni neno la Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova! Hivi ndivyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anavyoiambia milima na vilima, vijito na mabonde, magofu yaliyofanywa ukiwa,+ na majiji yaliyoachwa ambayo yameporwa na kudhihakiwa na wale waliookoka kutoka katika mataifa yanayowazunguka;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki