Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 32:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Kwa maana wao ni taifa lisilo na akili,*

      Na hawana uelewaji miongoni mwao.+

  • Isaya 1:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Ng’ombe anamjua vizuri aliyemnunua,

      Na punda anaijua vizuri hori ya mmiliki wake;

      Lakini Israeli hanijui,*+

      Watu wangu mwenyewe hawatendi kwa uelewaji.”

  • Yeremia 4:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Kwa maana watu wangu ni wajinga;+

      Hawanitambui.

      Wao ni wana wapumbavu, wasio na uelewaji.

      Ni werevu* sana katika kutenda maovu,

      Lakini hawajui kutenda mema.

  • Hosea 4:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Watu wangu watanyamazishwa,* kwa sababu hawana ujuzi.

      Kwa sababu mmekataa ujuzi,+

      Nitawakataa pia msinitumikie mkiwa makuhani wangu;

      Na kwa sababu mmesahau sheria* ya Mungu wenu,+

      Mimi mwenyewe nitawasahau wana wenu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki