Isaya 65:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Watu wanaonikasirisha daima mbele za uso wangu,+Wanaotoa dhabihu katika bustani+ na kufukiza moshi wa dhabihu kwenye matofali. Isaya 66:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 “Wale wanaojitakasa na kujisafisha ili waingie kwenye bustani*+ wakimfuata yule aliye katikati, wale wanaokula nyama ya nguruwe+ na vitu vinavyochukiza na panya,+ wote watafikia mwisho wao pamoja,” asema Yehova.
3 Watu wanaonikasirisha daima mbele za uso wangu,+Wanaotoa dhabihu katika bustani+ na kufukiza moshi wa dhabihu kwenye matofali.
17 “Wale wanaojitakasa na kujisafisha ili waingie kwenye bustani*+ wakimfuata yule aliye katikati, wale wanaokula nyama ya nguruwe+ na vitu vinavyochukiza na panya,+ wote watafikia mwisho wao pamoja,” asema Yehova.