Zaburi 103:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Hatatafuta makosa sikuzote,+Wala hataendelea kuwa na hasira milele.+ Isaya 21:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Enyi watu wangu waliopurwa,Mazao ya* uwanja wangu wa kupuria,+Nimewaambia yale niliyosikia kutoka kwa Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli. Mika 7:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Ni Mungu gani aliye kama wewe,Unayesamehe dhambi na kuachilia makosa+ ya watu waliobaki wa urithi wako?+ Hutaendelea kuwa na hasira milele,Kwa maana unapendezwa na upendo mshikamanifu.+
10 Enyi watu wangu waliopurwa,Mazao ya* uwanja wangu wa kupuria,+Nimewaambia yale niliyosikia kutoka kwa Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli.
18 Ni Mungu gani aliye kama wewe,Unayesamehe dhambi na kuachilia makosa+ ya watu waliobaki wa urithi wako?+ Hutaendelea kuwa na hasira milele,Kwa maana unapendezwa na upendo mshikamanifu.+