Mambo ya Walawi 26:44 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 44 Lakini licha ya hayo yote, wakiwa katika nchi ya maadui wao, sitawakataa kabisa+ wala sitawatupa na kuwaangamiza kabisa na hivyo kulivunja agano nililofanya+ pamoja nao; kwa maana mimi ni Yehova Mungu wao. Yeremia 10:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Nirekebishe, Ee Yehova, kulingana na hukumu,Lakini si katika hasira yako,+ usije ukanimaliza.+
44 Lakini licha ya hayo yote, wakiwa katika nchi ya maadui wao, sitawakataa kabisa+ wala sitawatupa na kuwaangamiza kabisa na hivyo kulivunja agano nililofanya+ pamoja nao; kwa maana mimi ni Yehova Mungu wao.