Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 2:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Yehova atawavunjavunja wale wanaopigana naye;*+

      Atanguruma dhidi yao kutoka mbinguni.+

      Yehova atahukumu mpaka miisho ya dunia,+

      Atampa nguvu mfalme wake,+

      Na kuikweza pembe ya* mtiwa-mafuta wake.”+

  • Yeremia 50:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Yehova amefungua ghala lake,

      Naye anatoa silaha za ghadhabu yake.+

      Kwa maana Bwana Mwenye Enzi Kuu, Yehova wa majeshi, ana kazi

      Katika nchi ya Wakaldayo.

  • Nahumu 1:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Yehova si mwepesi wa hasira,+ naye ana nguvu nyingi,+

      Lakini Yehova hatasita kamwe kutoa adhabu inayostahiliwa.+

      Kijia chake kimo katika upepo unaosababisha uharibifu na katika dhoruba,

      Na mawingu ni mavumbi ya miguu yake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki