Isaya 10:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 “Yehova atakapomaliza kazi yake yote kwenye Mlima Sayuni na Yerusalemu, atamwadhibu* mfalme wa Ashuru kwa sababu ya moyo wake wenye dharau na macho yake yanayotazama kwa kiburi na majivuno.+ Yeremia 51:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Nami nitamlipa Babiloni na wakaaji wote wa UkaldayoKwa sababu ya uovu wote ambao wametenda huko Sayuni mbele ya macho yenu,”+ asema Yehova.
12 “Yehova atakapomaliza kazi yake yote kwenye Mlima Sayuni na Yerusalemu, atamwadhibu* mfalme wa Ashuru kwa sababu ya moyo wake wenye dharau na macho yake yanayotazama kwa kiburi na majivuno.+
24 Nami nitamlipa Babiloni na wakaaji wote wa UkaldayoKwa sababu ya uovu wote ambao wametenda huko Sayuni mbele ya macho yenu,”+ asema Yehova.