Isaya 8:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Yehova wa majeshi—Yeye ndiye mnayepaswa kumwona kuwa mtakatifu,+Yeye ndiye mnayepaswa kumwogopa,Na Yeye ndiye anayepaswa kuwatetemesha ninyi.”+ Hosea 3:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Baadaye Waisraeli watarudi na kumtafuta Yehova Mungu wao+ na Daudi mfalme wao,+ nao watamjia Yehova wakitetemeka na kutafuta wema wake katika kipindi cha mwisho cha zile siku.+
13 Yehova wa majeshi—Yeye ndiye mnayepaswa kumwona kuwa mtakatifu,+Yeye ndiye mnayepaswa kumwogopa,Na Yeye ndiye anayepaswa kuwatetemesha ninyi.”+
5 Baadaye Waisraeli watarudi na kumtafuta Yehova Mungu wao+ na Daudi mfalme wao,+ nao watamjia Yehova wakitetemeka na kutafuta wema wake katika kipindi cha mwisho cha zile siku.+