Isaya 19:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Wakuu wa Soani+ ni wapumbavu. Washauri wenye hekima zaidi wa Farao wanatoa ushauri usio wa busara.+ Mnawezaje kumwambia Farao: “Mimi ni mzao wa watu wenye hekima,Mzao wa wafalme wa kale”? Ezekieli 30:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Nitalifanya jiji la Pathrosi+ liwe ukiwa na kuwasha moto katika jiji la Soani na kutekeleza hukumu dhidi ya jiji la No.*+
11 Wakuu wa Soani+ ni wapumbavu. Washauri wenye hekima zaidi wa Farao wanatoa ushauri usio wa busara.+ Mnawezaje kumwambia Farao: “Mimi ni mzao wa watu wenye hekima,Mzao wa wafalme wa kale”?
14 Nitalifanya jiji la Pathrosi+ liwe ukiwa na kuwasha moto katika jiji la Soani na kutekeleza hukumu dhidi ya jiji la No.*+