Mwanzo 10:13, 14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Misraimu akamzaa Ludimu,+ Anamimu, Lehabimu, Naftuhimu,+ 14 Pathrusimu,+ Kasluhimu (hao ndio waliowazaa Wafilisti),+ na Kaftorimu.+ Yeremia 44:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 44 Neno lililomjia Yeremia kwa ajili ya Wayahudi wote waliokuwa wakiishi katika nchi ya Misri,+ wale waliokuwa wakiishi Migdoli,+ Tahpanhesi,+ Nofu,*+ na katika nchi ya Pathrosi,+ likisema:
13 Misraimu akamzaa Ludimu,+ Anamimu, Lehabimu, Naftuhimu,+ 14 Pathrusimu,+ Kasluhimu (hao ndio waliowazaa Wafilisti),+ na Kaftorimu.+
44 Neno lililomjia Yeremia kwa ajili ya Wayahudi wote waliokuwa wakiishi katika nchi ya Misri,+ wale waliokuwa wakiishi Migdoli,+ Tahpanhesi,+ Nofu,*+ na katika nchi ya Pathrosi,+ likisema: