Isaya 8:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Yehova akaniambia: “Chukua bamba kubwa+ na uandike juu yake kwa kalamu ya kawaida,* ‘Maher-shalal-hash-bazi.’* Yeremia 36:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Chukua kitabu cha kukunjwa na uandike ndani yake maneno yote ambayo nimekuambia dhidi ya Israeli na Yuda+ na mataifa yote,+ tangu siku ya kwanza niliyozungumza nawe katika siku za utawala wa Yosia mpaka leo hii.+
8 Yehova akaniambia: “Chukua bamba kubwa+ na uandike juu yake kwa kalamu ya kawaida,* ‘Maher-shalal-hash-bazi.’*
2 “Chukua kitabu cha kukunjwa na uandike ndani yake maneno yote ambayo nimekuambia dhidi ya Israeli na Yuda+ na mataifa yote,+ tangu siku ya kwanza niliyozungumza nawe katika siku za utawala wa Yosia mpaka leo hii.+