Yeremia 4:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Tangazeni jambo hilo, naam, kwa mataifa;Litangazeni dhidi ya Yerusalemu.” “Walinzi* wanakuja kutoka nchi ya mbali,Nao watapaza sauti zao dhidi ya majiji ya Yuda. Yeremia 32:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 “‘Kwa maana watu wa Israeli na wa Yuda wametenda maovu tu machoni pangu, tangu ujana wao;+ watu wa Israeli wanaendelea kunikasirisha kwa kazi ya mikono yao,’ asema Yehova.
16 Tangazeni jambo hilo, naam, kwa mataifa;Litangazeni dhidi ya Yerusalemu.” “Walinzi* wanakuja kutoka nchi ya mbali,Nao watapaza sauti zao dhidi ya majiji ya Yuda.
30 “‘Kwa maana watu wa Israeli na wa Yuda wametenda maovu tu machoni pangu, tangu ujana wao;+ watu wa Israeli wanaendelea kunikasirisha kwa kazi ya mikono yao,’ asema Yehova.