Yeremia 32:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 “‘Kwa maana wana wa Israeli na wana wa Yuda wamekuwa tu watendaji wa mambo mabaya machoni pangu, tangu ujana wao na kuendelea;+ kwa maana wana wa Israeli pia wananitia uchungu kwa kazi za mikono yao,’+ asema Yehova.
30 “‘Kwa maana wana wa Israeli na wana wa Yuda wamekuwa tu watendaji wa mambo mabaya machoni pangu, tangu ujana wao na kuendelea;+ kwa maana wana wa Israeli pia wananitia uchungu kwa kazi za mikono yao,’+ asema Yehova.