‘Kwa sababu ya maasi matatu ya Yuda,+ na hata manne, sitabadili uamuzi wangu,
Kwa sababu walikataa sheria ya Yehova,
Na kwa sababu hawakufuata masharti yake;+
Lakini uwongo uleule ambao mababu zao walifuata umewapotosha.+
5 Kwa hiyo nitaishushia moto Yuda,
Nao utateketeza kabisa minara ya Yerusalemu yenye ngome.’+