2 Wafalme 19:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Kwa sababu ghadhabu yako dhidi yangu+ na mngurumo wako umefika masikioni mwangu.+ Basi nitatia kulabu yangu puani mwako na lijamu yangu+ katikati ya midomo yako,Nami nitakurudisha kupitia njia uliyoitumia kuja.”+ Zaburi 32:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Usiwe kama farasi au nyumbu, asiye na uelewaji,+Ambaye ni lazima msisimko wake udhibitiwe kwa hatamu au lijamuKabla hajakukaribia.”
28 Kwa sababu ghadhabu yako dhidi yangu+ na mngurumo wako umefika masikioni mwangu.+ Basi nitatia kulabu yangu puani mwako na lijamu yangu+ katikati ya midomo yako,Nami nitakurudisha kupitia njia uliyoitumia kuja.”+
9 Usiwe kama farasi au nyumbu, asiye na uelewaji,+Ambaye ni lazima msisimko wake udhibitiwe kwa hatamu au lijamuKabla hajakukaribia.”