24 Kwa hiyo Bwana Mwenye Enzi Kuu, Yehova wa majeshi, anasema: “Msiogope, watu wangu mnaokaa Sayuni, kwa sababu ya Mwashuru, aliyekuwa akiwapiga kwa fimbo+ na kuinua gongo lake dhidi yenu kama Misri ilivyofanya.+
26 Yehova wa majeshi atatikisa mjeledi dhidi yake,+ kama aliposhinda Midiani kando ya mwamba wa Orebu.+ Na gongo lake litakuwa juu ya bahari, naye ataliinua kama alivyoitendea Misri.+