Isaya 3:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Yehova anasema: “Kwa sababu mabinti wa Sayuni ni wenye majivuno,Nao wanatembea wakiwa wameinua vichwa vyao juu,*Wakipepesa-pepesa macho kwa utongozi, wakitembea kwa hatua fupifupi,Wakiwa na vikuku vinavyotoa milio kwenye vifundo vya miguu,
16 Yehova anasema: “Kwa sababu mabinti wa Sayuni ni wenye majivuno,Nao wanatembea wakiwa wameinua vichwa vyao juu,*Wakipepesa-pepesa macho kwa utongozi, wakitembea kwa hatua fupifupi,Wakiwa na vikuku vinavyotoa milio kwenye vifundo vya miguu,