Isaya 3:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Na Yehova anasema: “Kwa sababu binti za Sayuni wamekuwa na majivuno, nao wanatembea shingo zao zikiwa zimenyooshwa na kutupa macho yao kwa kutamani, wanatembea kwa hatua fupifupi, na kwa miguu yao wanatoa milio ya kengele,+ Isaya Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 3:16 ip-1 58-59 Isaya Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 3:16 Unabii wa Isaya 1, kur. 58-59
16 Na Yehova anasema: “Kwa sababu binti za Sayuni wamekuwa na majivuno, nao wanatembea shingo zao zikiwa zimenyooshwa na kutupa macho yao kwa kutamani, wanatembea kwa hatua fupifupi, na kwa miguu yao wanatoa milio ya kengele,+