Maombolezo 2:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Wanaendelea kuwauliza mama zao, “Iko wapi nafaka na divai?”+ Wanapozimia kama mtu aliyejeruhiwa katika viwanja vya mji,Huku uhai wao ukitoka polepole wakiwa mikononi mwa mama zao. Sefania 1:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Utajiri wao utaporwa na nyumba zao zitaharibiwa kabisa.+ Watajenga nyumba, lakini hawatakaa ndani yake;Nao watapanda mashamba ya mizabibu, lakini hawatakunywa divai yake.+
12 Wanaendelea kuwauliza mama zao, “Iko wapi nafaka na divai?”+ Wanapozimia kama mtu aliyejeruhiwa katika viwanja vya mji,Huku uhai wao ukitoka polepole wakiwa mikononi mwa mama zao.
13 Utajiri wao utaporwa na nyumba zao zitaharibiwa kabisa.+ Watajenga nyumba, lakini hawatakaa ndani yake;Nao watapanda mashamba ya mizabibu, lakini hawatakunywa divai yake.+