Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 11:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Vipofu wanaona,+ viwete wanatembea, wenye ukoma+ wanatakaswa, viziwi wanasikia, wafu wanafufuliwa, na maskini wanahubiriwa habari njema.+

  • Matendo 8:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kwa maana wengi walikuwa na roho waovu, na roho hao walipaza sauti kubwa na kutoka.+ Isitoshe, wengi waliokuwa wamepooza na vilema waliponywa.

  • Matendo 14:8-10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Huko Listra, kulikuwa na mwanamume aliyekuwa ameketi akiwa amelemaa miguu. Alikuwa kiwete tangu kuzaliwa na hakuwa ametembea kamwe. 9 Mtu huyo alikuwa akimsikiliza Paulo alipokuwa akizungumza. Paulo alipomtazama kwa makini na kuona kwamba ana imani ya kuponywa,+ 10 akasema kwa sauti kubwa: “Simama kwa miguu yako.” Ndipo yule mwanamume akaruka na kuanza kutembea.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki