Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 18:17, 18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Kisha mfalme wa Ashuru akamtuma Tartani,* Rabsarisi,* na Rabshake* pamoja na jeshi kubwa kutoka Lakishi+ kwenda kwa Mfalme Hezekia kule Yerusalemu.+ Wakapanda kwenda Yerusalemu na kujipanga karibu na mfereji wa kidimbwi cha juu, kwenye barabara kuu ya uwanja wa mfuaji wa nguo.+ 18 Walipomwita mfalme atoke nje, Eliakimu+ mwana wa Hilkia, aliyekuwa msimamizi wa nyumba,* Shebna+ aliyekuwa mwandishi, na Yoa mwana wa Asafu aliyefanya kazi ya kuweka kumbukumbu, wakaenda nje kukutana nao.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki