Isaya 22:20, 21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 “‘Siku hiyo nitamwita mtumishi wangu Eliakimu+ mwana wa Hilkia, 21 nami nitamvisha kanzu yako na kumfunga kwa nguvu ukumbuu wako,+ nami nitatia mamlaka yako* mkononi mwake. Naye atakuwa baba kwa wakaaji wa Yerusalemu na nyumba ya Yuda.
20 “‘Siku hiyo nitamwita mtumishi wangu Eliakimu+ mwana wa Hilkia, 21 nami nitamvisha kanzu yako na kumfunga kwa nguvu ukumbuu wako,+ nami nitatia mamlaka yako* mkononi mwake. Naye atakuwa baba kwa wakaaji wa Yerusalemu na nyumba ya Yuda.