2 Wafalme 18:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Katika mwaka wa tatu wa utawala wa Hoshea+ mwana wa Ela mfalme wa Israeli, Hezekia+ mwana wa Mfalme Ahazi+ wa Yuda akawa mfalme. 2 Wafalme 18:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Na Yehova alikuwa pamoja naye. Popote alipoenda, alitenda kwa hekima. Alimwasi mfalme wa Ashuru na kukataa kumtumikia.+
18 Katika mwaka wa tatu wa utawala wa Hoshea+ mwana wa Ela mfalme wa Israeli, Hezekia+ mwana wa Mfalme Ahazi+ wa Yuda akawa mfalme.
7 Na Yehova alikuwa pamoja naye. Popote alipoenda, alitenda kwa hekima. Alimwasi mfalme wa Ashuru na kukataa kumtumikia.+